Thursday, 7 November 2013

HIVI NI "BIG RESULTS NOW!" AU "BIG RESULTS NO!"

Hivi juzi tu wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ilitangaza kuondoa zero na kureplace na division five. Hali hiyo ilionekana kama ni njia mojawapo ya kuelekea slogan maarufu ya "BIG RESULTS NOW", kwa bahati mbaya sana maamuzi hayo hayakumaliza wiki, naibu waziri wa elimu alisikika akilijulisha bunge kuwa, division five imefutwa na zero inabaki palepale. Hii pamoja na maana nyingine inaweza ikamaanisha kwamba, maana ya "BIG RESULTS NOW" imekumbwa na majanga na baada ya muda si mrefu inaweza ikabadili jina na kuitwa "BIG RESULTS NO".

No comments:

Post a Comment