Usafiri kutoka chuoni kuelekea mjini na kutoka mjini kuelekea chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) umekuwa wa shida mithiri ya ule wa kutoka Ubungo kuelekea Mbagala (DSM). Akiongea na mwandishi wetu mmoja wa viongozi wa umoja wa wanafunzi wa chuo kikuu Dodoma ambaye hakutaka jina lake lichapishwe alisema kwamba, uongozi unajaribu kuwashawishi wamiliki wa magari zaidi ili waweze kuwekeza katika usafirishaji abiria na hivyo kuondokana na adha ya usafiri ambayo wasomi hao hukumbana nayo.
No comments:
Post a Comment