Monday, 28 October 2013

BODABODA MARUFUKU UDOM

Usafiri wa pikipiki maarufu kama "BODABODA" Umepigwa marufuku katika maeneo ya chuo kikuu cha Dodoma. Hii imebainishwa na maafisa usalima wachuo. Wakizungumza na mwandishi wa habari hii, wanausalama hao wametoa sababu za kupiga marufuku usafiri huo ni kutokaka na kuongezeka kwa ajili zinazosababishwa na BODABODA hizo. Chanzo cha habari hii kiliweza kushuhudia ajali mojawapo katika maeneo ya CAFELATINO COED.



No comments:

Post a Comment