Sunday, 27 October 2013

KASI MPYA NA ARI MPYA UDOM COED

Kwa mara ya kwanza katika historia ya UDOM COED masomo yaanza mara baada ya chuo kufungua. ama kweli hizi ni dalili njema za "BIG RESULT NOW". Hayo yamebainika baada ya chuo kufunguliwa tarehe 19/10/2013 na masomo kuanza rasmi tarehe 21/10/2013. Kasi inatufanya tuamini mambo kadha wa kadha. Akiwahoji wanafunzi mbalimbali mwandishi wetu alibaini kuwa ule mpango wa "BIG RESULT NOW" huenda ukawa upo katika utekelezaji.

No comments:

Post a Comment