Monday, 28 October 2013

WANAFUNZI WA BED PPM KUPATA MIKOPO YAO.

Wanachuo wa UDOM ambao majina yao ya fedha za 'meals and accommodation' hazikufika kwa wakati watarajie neema ya kupata fedha zao baada ya siku chache kuanzia leo. hayo yamesemwa na waziri wa mikopo alipokuwa akihojiwa na mwandishi wetu. Hivyo wawe na subira wakati matatizo yao yanafuatiliwa kwa karibu

No comments:

Post a Comment