NI MWALIMU AU DEREVA YEBO!
 |
| Duh! Pole sana mwalimu. |
Sura unayoiona hapo juu sio ya dereva yebo, bali ni ya mwalimu ambaye baada ya kuhitimu katika chuo kikuu cha Dodoma Kitivo cha elimu June mwaka huu akaamua kurudi nyumbani na kufanya kazi ya udereva yebo. Kwa bahati mbaya akakumbwa na majanga hayo unayoyaona hapo juu.
Je, wewe utakapohitimu umepanga kufanya shughuli gani? TAFAKARI, CHUKUA HATUA.........!
No comments:
Post a Comment