Suala la kokosa boom limemweka pabaya mwanachuo mmoja (jina tunalo) wa UDOM COED baada ya kula chakula wakati hana hela ya kulipa.
"Niache bwana nitakulipa boom likitoka".
Mwanachuo huyo alibaki chini ya ulinzi wa MAMA NTILIE huyo hadi msamaria mwema alipojitokeza na kulipa deni ambalo msomi huyo alikuwa anadaiwa. Ama kweli, " Ukitaka kujua ukali wa mlevi, mwaga pombe yake"
No comments:
Post a Comment